Habari
Mazingira
May 29, 2026
Mapokezi ya kitabu cha miaka 40 ya NEMC
I
Ibrahim Admin
Mwandishi
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla (kulia) akipokea kitabu cha miaka 40 ya NEMC kutoka kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni mara baada ya kukizindua katika kilele cha hafla ya Maadhimisho ya Miaka 40 ya NEMC iliyofanyika jijini Dar es Salaam, Mei 29 2026.
Shiriki Habari Hii