Rudi kwenye Habari
Habari Tangazo May 29, 2026

Mhe. Masauni Ashinda Uenyekiti wa Wabunge Wa Zanzibar

I

Ibrahim Admin

Mwandishi

Mhe. Masauni Ashinda Uenyekiti wa Wabunge Wa Zanzibar

Mbunge wa jimbo la Kikwajuni, Zanzibar Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni ambae ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Wabunge wa Zanzibar katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa asilimia 99 ya kura zote katika kikao kilichofanyika Dodoma Febuary 11, 2026